Rayvanny

Home

-

Rayvanny

Image

Rayvanny

2049

Share on:

           


Rayvanny - Teamo feat. Messias Maricoa lyrics

Mrembo wa sura hadi tabia
Nina kila sababu ya kujivunia iyee
Yaani kila kona umetimia
Napenda manukato ukinukia
Ukinigusa ndo nazimia iyee

Yaani kama ndege na wanae
Tuogelee na tupae
Kwenye kiota tukakae mi nawe
Uje nikubebe washangae
Wenye uchungu wakazae
Tukicheza kuche kuche
Nahodha eh mi nawe

Una guu la beer wala huna fito
Chuchu zako hunitoa majicho
Hata uvae gunia bado uko simple
Unapendeza

Shepu sinia, kiuno kijiko
Chumbani wanipa madiko diko
Ukifungua Coke yaani ni mafuriko
Umeniweza

Ooh my baby Teamo
Teamo
Ooh my baby Teamo
Teamo

Ooh my baby Teamo
Teamo
Ooh my baby Teamo
Teamo

Utamu wa asali
Najilamba lamba tu
Nakukupoteza mi sidhani(Aaah)
Twende Zanzibari
Kwenye marashi ya karafuu
Tukale na pweza forodhani(Aaah)

Yaani kama ndege na wanae
Tuogelee na tupae
Kwenye kiota tukakae mi nawe
Uje nikubebe washangae
Wenye uchungu wakazae
Tukicheza kuche kuche
Nahodha eh mi nawe
Ooh my baby Teamo
Teamo
Ooh my baby Teamo
Teamo

Download

Video



Ads

placard

Ads

placard

LetrasMz

We are the best Mozambican website song lyrics site since 2014.

Mozambique, Maputo

info@letrasmz.com

letras.de.musicas.mz@gmail.com

© LetrasMz. All Rights Reserved.